Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, June 14, 2010

Pipi

Siku moja kaka mmoja alikaa kwenye lecture room wakimsikiliza lecture. Ghafla jamaa akatoa viksi kingo na kuitumbukiza mdomoni kisha akamgeukia mdada alie pembeni yake na hali ikawa hivi:

Kwa kumnong'oneza,
Kaka: Samahani dada una maji hapo?
Dada: Hapana sina, ya nini kwani?
Kaka: Nataka nimezee vix kingo.

No comments:

Post a Comment