Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, June 17, 2010

Malavi davi

Mke alipokuwa ameketi pembeni ya mumewe alimvua miwani yake ya macho na kumuambia ''ukiwa hujavaa miwani unakuwa yule handsome wangu alienioa''

Mwanaume nae akajibu ''bila miwani bado unaonaka huu mzuri na mrembo sana.''

No comments:

Post a Comment