Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, June 17, 2010

Mke afta bia

Mlevi mmoja alipokuwa chakari kwa pombe alimuona mwanamke akamfuata, akaanza mshika kiuno, mara shavu... Yule mwanamke akafyumu... Jamaa akaomba msamaha 'samahani nilidhani ni mke wangu, umefanana nae'

Yule mwanamke akazidi kuwaka kama mbogo aliejeruhiwa ''msh**z wa tabia... Unavamia tu watu... &*@£''

Jamaa akadaki tena ''teena nae mkali kaama wewe ivo ivo''

No comments:

Post a Comment