Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, June 17, 2010

Ulevi huu khaa

Mlevi mmoja alimuuza mkewe apate bia kadhaa. Alikuwa bar akaanza kulia mwenzake akamuuliza:
'vipi kulikoni?' jamaa alimuuliza.

Mlevi: Nimemuuza mke wanguu ili nipate bia.
Jamaa: Khaa! Sasa unamtaka tena?
Mlevi: Ndio.
Jamaa: Unampenda bado?
Mlevi: Hapana, nna kiu tena.

*cheka unenepe*

No comments:

Post a Comment