Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, June 13, 2010

Mchina na omba-omba

Ombaomba mmoja alipewa noti ya shilingi elfu kumi na mchina, ombaomba yule akaikataa ile elfu kumi ombaomba mwenzake akamuuliza:

Ombaomba: We mbona umeikataa ile noti?
Mwenzake akamjibu kwa kujiamini.
''aa! Hawaaminiki hawa, kama feki je?''

No comments:

Post a Comment