Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, June 13, 2010

Pombe na glass

Walevi wawili baada ya pombe kukolea kila mmoja alikua na la kumuambia mwenzake na maongezi yao yalikuwa hivi:

Mlevi no.1: Glasi yangu bado nusu kuisha.
Mlevi no.2: Glasi yangu bado nusu kujaa.

*cheka unenepe*

No comments:

Post a Comment