Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, June 13, 2010

Mtoni

Jamaa mmoja alienda pembezoni mwa mto, upande wapili kulikuwa na mzungu nae akishangaa shangaa. Jamaa akavunja ukimya akaamua kumuuliza:
M-tz: Hey yoo! How can i get to the other side?
Yule mzungu akaangalia huku na kule na kumjibu:
Mzungu: You are on the other side already.

No comments:

Post a Comment