Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, June 13, 2010

Mume na mke

Mume: Kuanzia leo kauli yangu ndio ya mwisho ndani ya nyumba hii, nataka uniandalie chakula now, then maji ya kuoga.
Halafu jiulize nani atakaenichana nywele zangu?

Mke: Muosha maiti.

No comments:

Post a Comment