Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, June 14, 2010

Paka na panya

Siku moja kwenye chimbo fulani panya wawili walimuona paka kwa nje amekaa. Panya mmoja akamwambia mwenzake ''nna uwezo wa kumfanya paka akimbie'' panya mwenzake akamuuliza ''kivipi?''

Yule panya wa kwanza akabweka kama mbwa ''bow wow!'' kidogo wakamuona paka anakimbia. Kisha akageuka na kumuambia mwenzake ''unaona faida ya kujua lugha nyingine ya ziada?''

No comments:

Post a Comment