Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, June 19, 2010

Pombe bwana...

Jamaa usiku mmoja aliamka kwenda kukojoa huku akiwa bado pombe, aliporudi chumbani akamwambia mke wake wa ndoa, ''mke wangu bafuni umefanya nini?''

Mke akauliza: Mh! Kwani vipi mume wangu?

Mume: Nimeshangaa ukifungua mlango taa inawaka ukifunga inazima.''

Mke akadakia ''shenzi we umekojoa kwenye friji.

No comments:

Post a Comment