Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, June 19, 2010

!!

Wadada wawili wakipiga stories mmoja akamuuliza mwenzake. ''nasikia umeolewa tena?''

Dada akajibu "oh yes, ndoa ya kwanza na milionea, ndoa ya pili na mcheza sinema, na ndoa ya tatu mchungaji, na sasa nimeolewa na mwendesha kibaka.''

''Unamaanisha nini?'' yule dada wa kwanza aliuliza.

Akajibu, ya kwanza kuchuna pesa, ya pili kuuza sura, ya tatu kupunguza dhambi na ya nne kujifunza kupiga sachi (kuiba)?''

No comments:

Post a Comment