Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, June 19, 2010

Taa za ndege

Mama mmoja alikwea pipa(ndege) kwa mara ya kwanza kwenda majuu.

Kama unavyojua tena tule tutaa twa ndege tunavyowaka waka.

Basi ndege ilipaa usiku na huko angani akichokiona ni ile taa tu ikiwaka waka. Hakuelewa somo akamuita muhudumu wa kwenye ndege na kumuambia ''samahani kamwambie pilot amesahau kuzima taa ya indiketa ya kushoto inawaka mda mrefu sasa?''

No comments:

Post a Comment