Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, June 16, 2010

Pombe mtu.

Jamaa mmoja alikuwa mlevi kupitiliza, wenzake wanaekaa nae nyumba moja walijaribu kumuasa apunguze, hasa kutopitiliza na kulala nje (juu kwa juu)

Mlevi huyo siku moja alirudi nyumbani akiwa chakari saa 11 na nusu alfajiri na kuwaambia wenzake ''unaona mi silali nje kabisa, si hivi nimerudi.''

No comments:

Post a Comment