Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, June 18, 2010

Wanaume watatu

Wanaume watatu walipokufa uko peponi hali ikawa hivi:

Wa 1: Ambae hakutembea nje ya ndoa alipewa private jet.
Wa 2: Alitembea mara 1 tu akapewa sports car.
Wa 3: Alitembea mara nyingi akapewa mkweche (gari).

Wa 1 na Wa 2 wakamwambia usijali tutakupa vyetu uendeshe.

Wa 3 akajibu hiyo sio shida, mke wangu kafa nae yumo humu humu yeye kapewa baiskel...

No comments:

Post a Comment