Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, June 14, 2010

Weita na mteja

Mzee mmoja alienda kwenye restaurant:
Mzee: Weita njoo. Onja hii supu.
Weita: Hapana mzee hairuhusiwi mimi kufanya hivyo.
Mzee: Nakuomba onja supu.
Weita: Mzee itakuwa ngumu.
Mzee: Tafadhali onja supu, just onja tu.

Weita akaamua kuingia line ili aonje.
Wakati anainama ili aonje akasita na kumgeukia yule mzee na kuongea ''Siwezi onja hamna kijiko''

Mzee: Aha!

No comments:

Post a Comment